Skip to main content

Posts

Showing posts from December, 2016

IV Medication Administration Hanging a Minibag UPDATED

Q Chillah Ft Patoranking - Koku |Download Mp3

  Q Chillah Ft Patoranking - Koku |Download Mp3 BONYEZA HAPA CHINI KUPAKUA HAPA

IYO Ft Diamond Platnumz - Loving You |Official Music Video

  DOWNLOAD WIMBO MPYA WA DIAMOND FT IYO KWA KUBONYEZA HAPA CHINI   BONYEZA HAPA
  Dereva wa Bajaji yenye namba za usajili MC 576 AUS amenusurika kufa baada ya bajaji yake kugongwa na gari na kudondokea kwenye mfereji wa maji ya mvua Mikocheni Dar es Salaam. ITV

Tatizo La Kupoteza Kumbukumbu Alzheimer Disease

Kupoteza kumbukumbu ni ugonjwa unaoingia kwa kasi ugonjwa Umetajwa sasa unakuja juu kuliko maradhi sugu kama vile kisukari, shinikizo la damu, kiharusi na saratani Kupoteza kumbukumbu hutokea pale eneo la ubongo linalohusika katika kuhifadhi taarifa linapoathirika. Ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu kwa kawaida unawapata wazee. Uligunduliwa kwa mara ya kwanza mwaka 1906 na Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Akili, Alois Alzheimer. Dk Alzheimer, ambaye ni MjerumU ani, alipata mgonjwa mwenye tatizo hilo ambaye alikuwa anapoteza kumbukumbu, kuchanganyikiwa na kupata ugumu wa kuelewa maswali anayoulizwa. Mgonjwa huyo alifariki dunia na ndipo Dk Alzheimer alipofanya uchunguzi katika ubongo wa marehemu na kubaini kuwa kulikuwa na hitilafu katika baadhi ya seli za ubongo wake. Hivyo, akawa daktari wa kwanza kubaini ugonjwa huo wa kupoteza kumbukumbu na kulifanya Shirika la Afya Duniani (WHO) limpe heshima kwa kuuita ugonjwa huo jina la daktari huyo. Ugonjwa huo unafahamika kama ...

IV Medication Administration Hanging a Minibag UPDATED

Arsenal wapigwa 2-1 na Everton

   Arsenal walishinda michezo mitatu kabla ya kufungwa na Everton Arsenal wamepoteza nafasi ya kukaa kileleni mwa ligi kuu ya England baada ya Everton kutoka nyuma na kuondoka na ushindi wa 2-1. Washika bunduki hao walishinda michezo mitatu mfululizo walianza vyema katika mchezo dhidi ya Everton baada ya Alexis Sanchez kupiga safi mkwaju wa adhabu nje kidogo ya eneo la hatari uliombabatiza mlinzi Ashley Williams na kuingia wavuni. Everton walisawazisha na kuwa dakika chache kabla ya kwenda mapumzikoni baada ya Seamus Coleman kumalizia vyema mpira uliopigwa na mlinzi Leighton Baines. Kipindi cha pili kila timu ilirejea kwa lengo la kuchukua alama tatu lakini ni Everton ndio waliofanikiwa baada ya Williams kufuta makosa yake kwa kuifungia Everton goli la pili na la ushindi. Nahodha wa timu ya Everton Phil Jagielka alitolewa kwa kadi nyekundu dakika chache tu kabla ya kumalizika kwa mchezo huo baada kupata kadi ya pili ya njano.