Skip to main content

MAOMBI YA MIKOPO 2023/2024 KUANZA KUPOKELEWA JULAI 15

 

MAOMBI YA MIKOPO 2023/2024 KUANZA KUPOKELEWA JULAI 15







Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inapenda kuwajulisha waombaji mikopo watarajiwa kuwa inakamilisha kuandaa mfumo ambao kwa mara ya kwanza kuanzia mwaka huu 2023/2024 waombaji hawatahitajika kuwasilisha nakala ngumu (hard copies) na hivyo kuwapunguzia gharama za uombaji.

Dirisha la kuomba mkopo kwa njia ya mtandao litakuwa wazi kuanzia Julai 15, 2023.

Aidha, kabla ya kuanza kuomba mikopo Julai 15, 2023, HESLB itatangaza ā€˜Mwongozo wa Utoaji Mkopo na Ruzuku kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu kwa Mwaka wa Masomo 2023/2024’ utakaopatikana katika tovuti www.heslb.go.tz. Waombaji wote wanashauriwa kuusoma na kuuzingatia.

 

Imetolewa na:

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu,

Jengo la PSSSF, Ghorofa ya Nne,

Barabara ya Makole,

S.L.P. 984,

DODOMA

Julai 8, 2023

Comments

Popular posts from this blog

FAHAMU FAIDA ZA KUNYWA GREEN JUICE KWA MWILI NA AFYA.

MTU KWAO BLOG /01 Good morning Loves, so kwa wale watu wa fitness na wanaopenda to keep their bodies healthy nadhani mtakuwa mnajua green juice ni nini na jinsi ya kuitengeneza and all that. Since I spend most of my time reading and writing nimekutana na sehemu mtu anauliza hii green juice inasaidia nini haswa, yaani faida zake ni nini, kwanini unywe green juice? Kwanini unywe Green Juice? 1.Inasafisha ngozi yako. Baada ya kama wiki mbili za kunywa green juice utaanza kuona mabadiliko, ngozi yako itaanza kuwa laini na hata madoa na makovu uliyokuwa nayo yataanza kupotea. If you make a habit ya kuinywa kila siku basi ngozi yako ndio itatakata kabisa. 2.Inakupa nguvu. Kwa wale ambao tayari mnakunywa green juice mtakuwa mnajua kuwa unatakiwa kuinywa on ana empty stomach.. kunywa ukiwa huna kitu tumboni, kaa kama nusu saa ndio unaweza kunywa au kula kitu kingine. Green juice ina nutrients nyingi na hivyo ni bora kama ukiinywa asubuhi kabla hujala kitu kingine chochote. 3.Inasa...

Kifafa cha Mimba (Preeclampsia, eclampsia)

MTU KWAO BLOG / Eagle Eyes Kifafa cha mimba ni ugonjwa unaohusiana na msukumo mkubwa wa damu (high blood pressure) wakati wa ujauzito pamoja na kuharibika kwa viungo muhimu mwilini kama vile figo na ini. Kwa kawaida ugonjwa huu hutokea baada ya nusu ya kwanza ya ujauzito kuisha (kuanzia wiki ya 20 au miezi mitano ya ujauzito). Ugonjwa huu huweza kuwatokea hata wajawazito ambao hawakuwa na tatizo la msukumo mkubwa wa damu kabla ya ujauzito. Ugonjwa wa kifafa cha mimba unaweza kuleta madhara makubwa kwa mjamzito na mtoto aliye tumboni. Kuharibika kwa viungo muhimu kama figo na ini la mjamzito kunaweza kuwa kwa kiwango kikubwa kichoweza kusababisha mjamzito kupoteza maisha iwapo hatapata huduma ya afya mapema. Vilevile mtoto aliye tumboni anaweza kuathirika kwa kukosa damu ya kutosha toka kwa mama na kushindwa kukua vizuri na iwapo hali hiyo ikiendelea muda mrefu anaweza kufia tumboni. Kutokana na hatari kubwa ya ugonjwa huu kwa wajawazito na watoto walio tumboni, ina...

APPLICATION ZA MASOMO KOZI MBALIMBALI CHUO CHA DIT 2016/2017

For All wishing to apply for Diploma Courses at DIT. Applications is now open. Click here to start. Application Procedures Step One :: Read Application Requirements Before starting registration. read DIT Admission Requirements Dit Bank Account No: 0150408417800 - CRDB BANK, Account name DSM INST OF TECHNOLOGY 1. Prepare a list of Scanned documents for Attachments All Applicants must have Recent Digital or Scanned Passport size Photo (Scanned passport size photo must single and in full page) Scanned original Birth Certificate . Scanned original Bank Payin Slip. Applicants with O-Level (CSEE from NECTA) only Scanned original O-Level education Certificate (CSEE). Applicants with A-Level (CSEE and ACSEE from NECTA) Scanned original O-Level education Certificate (CSEE). Scanned original A-Level education Certificate (ACSEE) . Applicants with VETA and CSEE from NECTA Scanned original O-Level education Certificate (CSEE). Scanned original VETA Certificate (VETA). Applicants with educ...