Skip to main content

Ruby Amjia Juu Said Fella

Baada ya Saidi Fella kumzulia jambo msanii Ruby ameibuka na kusema hakuwa na msongo wa mawazo wala nini ila haraka haraka zao ndizo zilisababisha asionekane kwenye video ya ngoma ya Bendi ya Yamoto.




Baada ya mkubwa Fella kuzungumza na eNewz na kutufahamisha kuwa mwanadada Ruby ana msongo wa mawazo, kitu ambacho kilipelekea uongozi wa Bendi ya Yamoto kufanya video bila ya dada huyo,Ruby kimemuuma sana na kusema hakuwa na msongo wa mawazo wala nini sema ni haraka haraka zao ndizo zilisababisha asionekane kwenye video hiyo.
Hata hivyo Ruby anasema wimbo huo ulirekodiwa muda mrefu sana na ulichelewa kutoka mbona hilo walivumiliana lakini kwa sasa walishindwa kumsubiri wakati yeye alijua lazima aonekane na afanyekazi yake kama ilivotakiwa.
Pia Ruby amesema amejisikia vibaya saana kuona hiyo video imefanyika bila yeye kuwepo ila yeye hajakataa kuonekana katika hiyo video kwa hiyo mashabiki zake waelewe kuwa yeye alikuwa tayari kufanya video ila upande wa Yamoto Band walikuwa na haraka na hyo video.
Ruby anasema kuwa yeye alikuwa hayupo kasafiri na walitaka afanye hiyo video wakati yeye alikuwa hayupo tayari kushuti hiyo video na wao walitaka video ifanyike haraka na yeye alikuwa busy ndio mahali walipopishana hapo na kushindwa kuwa ontime na yeye anasema, hivyo ukweni ni kwamba hana stress kabisa.


Comments

Popular posts from this blog

Kifafa cha Mimba (Preeclampsia, eclampsia)

MTU KWAO BLOG / Eagle Eyes Kifafa cha mimba ni ugonjwa unaohusiana na msukumo mkubwa wa damu (high blood pressure) wakati wa ujauzito pamoja na kuharibika kwa viungo muhimu mwilini kama vile figo na ini. Kwa kawaida ugonjwa huu hutokea baada ya nusu ya kwanza ya ujauzito kuisha (kuanzia wiki ya 20 au miezi mitano ya ujauzito). Ugonjwa huu huweza kuwatokea hata wajawazito ambao hawakuwa na tatizo la msukumo mkubwa wa damu kabla ya ujauzito. Ugonjwa wa kifafa cha mimba unaweza kuleta madhara makubwa kwa mjamzito na mtoto aliye tumboni. Kuharibika kwa viungo muhimu kama figo na ini la mjamzito kunaweza kuwa kwa kiwango kikubwa kichoweza kusababisha mjamzito kupoteza maisha iwapo hatapata huduma ya afya mapema. Vilevile mtoto aliye tumboni anaweza kuathirika kwa kukosa damu ya kutosha toka kwa mama na kushindwa kukua vizuri na iwapo hali hiyo ikiendelea muda mrefu anaweza kufia tumboni. Kutokana na hatari kubwa ya ugonjwa huu kwa wajawazito na watoto walio tumboni, ina...

Medical gamble that saved a little boy’s life

  The 18-month old boy was rushed to Muhimbili National Hospital (MNH) in Dar es Salaam where he was admitted. But his condition soon deteriorated into acute kidney failure. A dark cloud hovered over the family. The country’s biggest referral hospital has for years been infamous for being too ill-equipped to save those dying from such conditions. To read the whole story click here

Haya ndiyo madhara ya Kutumia earphones

Imeelezwa kuwa watu wanaotumia redio za simu wako hatarini kupatwa na ugonjwa wa saratani ya sikio na kichwa kutokana na mionzi mikali itokanayo na viselula hivyo. Akizungumza na FICHUO TZ, Dk. Leopard Mwinuka alisema, watakaoathirika na tatizo hilo ni wanaotumia muda mwingi kusikiliza redio ama muziki kwa kutumia spika za masikioni ‘headphone’. “Nawaonea huruma wanaotumia muda mwingi kusikiliza redio ama muziki kwa kutumia spika za masikio, kwani madhara yake hawawezi kuyaona sasa bali siku zijazo watapata ugonjwa wa saratani,” alisema Dk. Mwinuka. Alimaliza kwa kusema kuwa, mbali na kupata ugonjwa huo, wahusika wanaweza kupata tatizo la kutosikia vizuri kwa sababu, mtu anapotumia spika za sikio huweka sauti kubwa ili apate mdundo mzuri baada ya muda ngoma ya sikio inaathiriwa na hali hiyo. Habari nyingine za kitabibu zilisema kwamba, kwa kuwa pande zote za spika zina sumaku, huweza kuvutana na kuvuruga mpangilio wa ubongo hasa kama spika hizo zitakaa maskioni kwa zaidi ya sa...